Thursday, May 16, 2013

MGENI WANGU:....CHITCHATTING WITH SELLES MAPUNDA


SELLES MAPUNDA  ni Afisa uhusiano wa kampuni kubwa ya usambazaji filamu ya Steps Entertainment. Leo nilipata dakika zake chache za kuwa mgeni wangu humu ndani. Ni mchangamfu, very down to earth guy na mchapakazi  haswaaa... maana ni anaongoza filamu za kitanzania, ni afisa uhusiano na ni mmiliki wa kampuni yake binafsi....  Ilikuwa hivi

Laura: Mambo Selles!
Selles: poa kabisa Laura

Laura: tunaweza ongea mawili matatu?
Selles: bila shaka



Laura:  Je una Nickname yoyote mbali na jina lako?
Selles: No
Laura: oookay!

Laura: Uko katika mahusiano…kama ndio unayaelezeaje mahusiano yako, kama hapana kwanini hauko katika mahusiano
Selles:  Nipo kwenye mahusiano.
Laura: okay ladies out there the gentleman is not available, sit down pliiiiz hahahaaaa

Laura: Unapenda burudani gani
Selles: Kusikiliza muziki na kuangalia sinema.
Laura: kumbe tunashea burudani. Nice!

Laura: Ukiambiwa uchague watu watatu popote duniani wa kupata nao dinner usiku mmoja katika hoteli ya nyota tano. utawachagua akina nani na kwanini
Selles: Nitakuchagua wewe, Boss wangu na mtoto wangu, coz nawapenda sana.
Laura: Hahahahahaaa Thanks I’m humbled Sel…. your Girlfriend should skip this question lol!

Laura:  Je unafuatilia siasa za nchi hii, kama ndio unadhani zinakidhi matakwa ya demokrasia?....kama hapana kwanini hufuatilii
Selles: Sipendi siasa coz ni mchezo mchafu.
Laura: Aisee!

Laura: Wewe ni mpenzi wa chama gani cha siasa?
Selles: Chadema
Laura: Same team! haleluyah *wink*

Laura: Kama si kuwa director wa filamu za kitanzania, unadhani ni kazi gani ungekuwa unafanya sasa?
Selles: Ningekuwa Daktari
Laura: wow!...

Laura: Nani kimbilio lako unapikuwa katika wakati mgumu?
Selles: Mungu
Laura: brilliant!!

Laura: Unatamani kufika wapi ambako hujawahi kwenda
Selles: Peponi
Laura: Hahahahaaaa nilishaanza kufikiria mambo ya ufaransa, visiwa gani sijui lol

Laura; Unapenda rangi gani?
Selles: Blue
Laura: Mh! you sound like Chelsea fan yeyiii

Laura: unapenda chakula na kinywaji gani?
Selles:Ugali, dagaa na maharage, juisi ya Embe
Laura: Yummy! but mmmmmh… what a lie! hahahahaaaa come on why this is a lie!

Laura: umewahi kusoma hadithi za Laura Pettie?...kama ndio ulivutiwa na ipi hasa
Selles: nasoma zote huwa zinanivutia
laura: My pleasure! na asante kwa support

Laura: Ni vitu gani huvipendi kabisa katika maisha yako
Selles: Sipendi ugomvi, majungu na wivu.
Laura:  Ni kweli mambo hayo huzalisha umaskini zaidi

Laura: UZUSHI.COM: kipi huwa kinakuvutia kwa jinsia nyingine mara ya kwanza unapokutana naye…urefu, rangi, umbo au nini?
Selles: Pua kama yako, rangi nyeusi asiwe mnene sana wala chembamba
Laura: hahahahahaaa that is not funny Selles LMAO!

....na kutokana na matatizo ya kiufundu tukaishia hapa! i had i lot of questions...na nilifurahi mno kwa kunigawia wakati wake kwa mazungumzo machache kama haya!

Next time it might be you a reader!..... Usinikimbieee!

No comments:

Post a Comment



Snowfall Widget for Blogger


Snowfall Widget for Blogger