Sunday, June 29, 2014

10 MINUTES WITH GOD...MFALME WA AMANI LYRICS NA SOLOMONI MUKUBWA!!




Mfalme wa Amani ni moja kati ya nyimbo za Solomon Mukubwa zinazonibariki sana
Ni wimbo unaogusa hisia za ndani na maisha ya kila siku ya binadamu
Usikilize...utafakari.... utagundua Pamoja na majaribu yote ya dunia bado tunalo kimbilio ambalo ndilo Mfalme wa Amani....
Unapomaliza kuusikiliza wimbo kwa dakika mbili mwambie Mungu shida yako, mpe Mungu shukrani zako!!

Daudi kasema,nilikuwa kijana sasa ni mzee (x2) 

Sijawahi kuona mwenye ameachwa mimi 
Wala watoto wake kuombaomba mikate barabarani 
Mungu ni mwaminifu, kwa ahadi zake wanadamu 
Mungu ni mwaminifu, kwa ahadi zake si kama wanadamu 
Akiongea Yesu ameongea, 
Akikuahidia kitu, Baba ameahidi na ujasiri 
Atatenda kwa wakati wake 
Ninamwita Bwana wa amani 
Ninamwita mfalme wa amani 

Ndio maana mimi ninaimba kwa sababu ya amani yake 
Ni uwezo gani, uwezo gani unaominga Baba 

Uwezo gani, uwezo gani, uwezo gani 

Refrain:

Mfalme wa amani, mfalme wa amani uinuliwe 
Wewe ni mwema, wewe ni mwema Bwana wangu 

(Refrain)
Usilie, usilie, usiliwe wewe

Usilie Bwana anakujua ndugu yangu 
Amesikia kilio chako wewe mama 
Unalia nini kwa wanadamu, mama yangu 

Wanadamu hawatakusaidia na kitu 

Wanadamu hawatakuwezesha kwa kitu chochote 
Tunaye mmoja anayepanguza machozi ya watu wake

Ni yule mfalme wa amani 


Tuesday, June 24, 2014

PERUZI YA ENZI.... KAOKOO KOROBO BY PAPA WEMBA NA LYRICS ZAKE




Hahahahahaa we used to sing 'naogopa mkorogooooo'... Here we go.....

Pesa biso nguya, tobare bazembezembe ná bantusa esprit
Torenye lokola yo na likolo
biso bayanke na se
Amen
Amen


Je suis madinken
Tu es mandiken
Elle est mandiken
Nous sommes mandiken
Vous êtes mandiken
Ils sont mandiken


Babukaki ligal ya Kaludji na Yacom
Baplan ilfale natelema na yango na ndule wana
Mbila amira pale
Masta batindika ye
Petite abendana
uta azwa lupemba 
azwa kiboba, 
Bashatshe, baMiyake, baYamaoto
Influence ya coup d'œil

Monday, June 16, 2014

UREMBO NA LAURA:...KANUNI ZANGU 10 ZA KUWEKA USO WA MWANAMKE KATIKA HALI YA KUVUTIA

Uso ni moja ya sehemu ya mwili yenye ngozi ‘sensitive’ sana, n kiwa na maana si sehemu nzuri kufanyia majaribio yoyote kwa vile ni rahisi kuungua, kutoa vipele, kuwasha nk mara tu mambo yanapoenda sivyo ndivyo.
Uso ni utambulisho wa mtu na kwa sisi wanawake uso ni sehemu inayotuumiza kichwa sana inapotokea kuwa katika hali isiyovutia. Kwa kutambua hili Blog ya LauraPettie inakujia na makala mbali mbali za urembo zenye nia ya kukuweka fresh usoni na sehemu zingine za mwili.
Kwa kuanzia leo naomba nikupe KANUNI 10 ambazo mimi binafsi nazifuata  kama njia ya kuuweka uso wangu safi. Tunaanza na hizi njia kumi kisha matoleo yajayo  ndio nitaweka aina za vitu na njia za kusafisha ngozi ya uso na kukupatia muonekano maridadi kabisaaaa tena kwa gharama nafuu!!!

1. USISHIKESHIKE USO KILA MARA:

Uso wangu ukiwa bila kipodozi chochote tayari kwa kufanya scrub ya unga wa liwa

…. Kuna watu wana mazoea ya kushika uso kila mara, iwe kwa kufuta jasho au kutumbua tumbua vipele. Mikono yetu inashika vitu vingi vyenye bakteria. Mf. Pesa, sehemu zenye vumbi nk. Unapopeleka mkono usoni kila mara unahamisha bakteria wa mikononi kwenda usoni na kama nilivyosema ngozi ya uso ni kitu sensitive ni rahisi kuleta harara usoni. Jijengee mazoea na kutogusa uso mara kwa mara na ikiwezekana tumia kitambaa au tishu safi kufuta uso pale inapokulazimu. Ondoa mazoea ya kugusa gusa uso utaona mabadiliko!



Snowfall Widget for Blogger


Snowfall Widget for Blogger