Monday, May 3, 2010

Haya Yote ni Maisha!

Katika safari ya maisha kila mmoja ana majaaliwa yake hapa duniani,tumezidiana urefu, uzuri, mali na vyeo lakini kipo kimoja kubwa kinachotuweka pamoja, kitu hiki ndicho hasa kinachotufanya sisi tuitwe binadamu bila yale yooote yanayotutofautisha.
Si masikini si tajiri, si mzuri si mbaya si mweusi si mweupe wote kwa pamoja tunamtumainia MUNGU MMOJA!!
Wakati wewe mwenyezi mungu akikujaalia afya na furaha kuna wengine wapo katika huzuni na mateso makali, ni wajibu wetu kuwakumbuka, kuwasaidia hata kwa kile kidogo alichokubariki mwenyezi mungu!
Umesaidia wangapi?
FUNGUA MKONO WAKO UMSAIDIE MWENZAKO...!
PAMOJA!


Snowfall Widget for Blogger


Snowfall Widget for Blogger