Monday, August 25, 2014

PERUZI YA ENZI.... SOLEMBA BY JUWATA JAZZ NA LYRICS JUU

Ni wimbo wa kitambo sana lakini kama kawaida old is gold
Nimejikuta tu naukumbuka sana leo na kuuimba
nikaona niwakumbushe na wale wapenda za kale

ENJOY!!

#MCM.... KENNY ROGERS!

I LOVE THIS OLD MAN TO BITS!!


Alifanya upasuaji wa uso... things didnt go well but.... 
I love him either way Lol!

My favorite Photo!


Monday, August 11, 2014

REST IN PEACE ROBIN WILLIAMS!!...a.k.a Mrs. Doubtfire

nimeamka na hii habari mbaya!... Robin is gone!... huyu ni kati ya wale wachekeshaji wasiotumia nguvu nyingi kukufanya ushikilie mbavu... very talented!... akianzia kwenye stand up comedy mpaka filamu.

R.I.P Robin...

 Hapa ndio alikuwa Mrs. Doubtfire... 
niliipenda sana hii movie mnoooo!
Wanasema kuna dalili kuwa amejiua... uchunguzi bado unaendelea
it is so sad!... almost movie zoooote za huyu baba nazipenda
i find them so so so funny aisee!
kuna moja hiyo inaitwa Old dogs... nilicheka sana uwiiii




Haya mapishi mie hoooi!...dah! Pumzika kwa amani Robin
MAISHA YAKE!
Robin amekufa akiwa na miaka 63!...
akiwa tayari na ndoa ya tatu mkononi, wakati alipomtaliki mkewe wa pili aliyepata naye mtoto mmoja
RObin alisema ni bora achukue mwanamke asiyempenda na kumpa nyumba kuliko kuoa tena
Hii ilikuwa ni baada ya ndoa mbili kumgharimu pesa nyingi za talaka
Lakini kama tulivyo binadamu wengine, huwa tunajiapiza mambo mengi sana lakini mwisho wa siku tunajikuta tumefanya kinyume na maapizo yetu
Hawakukosea waliosema NEVER SAY NEVER!!

Robin akajikuta katika mahusiano mengine yaliyopelekea ndoa na bibie Susan Schneider!
Na huyu ndiye mke aliyebaki nae mpaka mauti


Robin na Susan

Robin ameacha watoto watatu, wawili aliowapata kwa mke mkubwa na mmoja kwa mke wa pili.
Robin alipata kusema, utoto mwake aliishi maisha ya upweke sana
na inasemekena amejiua kutokana na hivi karibuni kupatwa na 'severe depression'

Lord have mercy!...zamani nilikuwa nadhani Pesa ni source ya furaha lakini kadiri ninavyokua nagundua Pesa ni kichocheo tu cha furaha... lakini kuwa na furaha ni uamuzi tu wa mtu binafsi
Imagine mtu kama Robin anapata severe depression! Life is not fair!

Pumzika kwa amani Robin! you made us laugh...you made us cry! and now you are gone we will always remember you for this!

R.I.P!!



PERUZI YA ENZI.... PAPA PLUS BY KOFFI OLOMIDE



Aiseee! hivi huu wimbo unakukumbusha wapi jamani!

 1) Papa plus
Tsha Tsho
Papin abandi
Boyebi kaka te
Grand 7em

Se nga x5

2) Ah ngai moto mpamba eh
Ah ngai moto pamba
An ngai moni mambu eh
Ah nga mwana ya Nzambe

3) Na ba tongoko nga
Pe ba fingaka nga
Kombo na nga esambwa
Na minoko ya bato

4) Masumu nyoso ya Israel (Se nga)
Masumu nyoso ya Mayi Ndombe (Se nga)
Masumu ya Adamu na Eva (Se nga)
Bo fingi tongi lobi mingi na kombo ya mwana ya ngani eh
Bo fingi tongi lobi mingi na kombo ya mwana ya ngani eh



Snowfall Widget for Blogger


Snowfall Widget for Blogger