Tuesday, August 17, 2010

Ni kukumbushana tu....!


Wengi wetu tunajaribu kwa kadiri tunavyoweza kuyatafuta maisha, kupambana nayo kwa kila hali ili mradi tu mwisho wa siku ukamate kitu kinachoitwa PESA...

Ni halali ya binadamu kuhaingikia maisha lakini halali hii isihalalishe kusahau utu wetu... katika mambo kama misiba, sherehe au mikusanyiko yoyote yenye nia ya kukutanisha watu kiuungwana!

Utatengwa!
Maisha ni watu ndugu yangu... pesa ni chachandu tu ya kuongeza utamu wa maisha


Snowfall Widget for Blogger


Snowfall Widget for Blogger