Thursday, May 26, 2011

MSEMO WA LEO...


MTAKA NYINGI NASABA, HUFIKWA NA MWINGI MSIBA!


Kumekucha! Msemo huu ni kama mshika mbili moja humponyoka sasa huyu si mbili tu, atataka hata 10 zote azikamate yeye… yahusu! Usitake nyingi sifa, utakufa!

Na dunia hii iliyojaa sifa za kinafki unalamba mchanga watu wanakusifia nawe kwa kuzitaka nyingi nasaba unaamua kutafuta mpaka kokoto….

hahahahaha! yatakayokukuta utasimulia vizazi vyako vijavyo!

shukrani!

No comments:

Post a Comment



Snowfall Widget for Blogger


Snowfall Widget for Blogger