Saturday, May 7, 2011

MSEMO WA LEO....



...katika kuienzi laugha yangu ka kiswahili nimeona niwe natoa misemo mbali mbali ya lugha ya kiswahili hata wewe mdau unaweza kunitupia msemo wako kupitia email ya. queenlauryn5@yahoo.com nami nikautupia humu.... haya msemo wa leo unasema

...Hubebeki kama chungu cha moto!...

eeeh ndugu yangu ukibebwa bebeka, sio tena umfanye mbebaji akubebe huku ananung'unika! binadamu unasaidiwa katika hili nawe badala ya kuonyesha shukrani ndio kama vile huo msaada unaukatia risiti, utataka utendewe vile unavyotaka wewe wakati yote ni hiyari ya mtenda!

ALAMSIKI

No comments:

Post a Comment



Snowfall Widget for Blogger


Snowfall Widget for Blogger