Monday, October 6, 2014

SHOUT OUT TO WYNJONES KINYE!!- ASUBUHI ITAFIKA!!



Kuna muziki wa midundo...na kuna muziki wa maneno!
Kivipi?.... ni mara ngapi umesikiliza nyimbo za kikongo ukajikuta unajitikisa tu pasi kujua ni nini kinaimbwa!.... ni mara ngapi umesikiliza wimbo ukajikuta unabonyeza kitufe kurudisha nyuma kidogo ili upate kufaidi ubeti fulani wa wimbo huo?

This is what am talking about!.... Asubuhi itafika ni wimbo wa maneno... Kinye is talented...kuanzia sauti mpaka mpangilio wa tungo zake... ni kati wale vijana wachache wanaofanya muziki kama sehemu ya hobby lakini naamini akiamua kukaza ndula huyu anakwenda sawa na AY!!

Mjini hapa promo tu ila tukisema tufuate talent... kuna talent nyingi sana kama hizi na moja wapo ikiwa hii.... huu sio wimbo wake wa kwanza anazo kadha wa kadha....

kwa leo hebu tulia kidogo ujipe nafasi ya kumsikilia Kinye!... 
Hapo ulipo kama kuna kikwazo unapitia...kama kuna mtihani unakuelemea msikilize Kinye anavyokwambia Asubuhi itafika!!

Hongera sana Kwa kazi nzuri kama hii.... Maaaaan ! una sauti mwana! unayo haswaaaa!! endelea KUITIMIKIA SAUTI YAKO!!

No comments:

Post a Comment



Snowfall Widget for Blogger


Snowfall Widget for Blogger