Thursday, March 12, 2015

11TH MARCH WAS MY BIRTHDAY!!


 Jana ilikuwa siku yangu ya kuzaliwa
kuna mengi ya kufurahisha yakatokea
lakini...

kubwa lililofanya nitafakari ni ajali iliyotokea Mufindi!
ningeweza kuwa mimi lakini Mungu bado ana mpango na mimi.

Nashukuru ndugu jamaa na marafiki ikiwemo familia yangu kwa kila kitu
Nimeongeza mwaka mmoja... na Birthday ya mwaka huu nimeifurahia kuliko birthday zooote!
sababu naisherehekea nikiwa na status moja mpya maishani mwangu!

Namshukuru Mungu, na natumaini mwaka niliouanza utakuwa mwema kama ulioisha.
Na nitaendelea kuwaburudisha kama kawa!

Asanteni sana!

No comments:

Post a Comment



Snowfall Widget for Blogger


Snowfall Widget for Blogger