Saturday, November 22, 2014

10 MINUTES WITH GOD!...WATEULE WA BWANA





Wateule wa Bwana karibuni mezani pake, njoni, Bwana awaalika enyi wenye moyo safi x 2

Amewaandalia, leo, karamu takatifu, njoni mwili na damu yake chakula safi cha roho x 2
  1. Kwanza tujitakase, nafsi zetu wenyewe, tukishakutakata, tujongee meza yake.
     
  2. Karibuni mezani, Bwana awaalika, kwenye karamu yake, enyi wenye moyo safi.
     
  3. Na tule mwili wake, na tunywe damu yake, ndicho chakula bora, cha roho zetu karibu.
     
  4. Tusipokula mwili, na kunywa damu yake, tunazinyima roho zetu neema zake Bwana.




ENJOY!!

No comments:

Post a Comment



Snowfall Widget for Blogger


Snowfall Widget for Blogger