Thursday, March 27, 2014

PERUSI YA ENZI:... DISTANCE BY LAY JAY DEE....


i love Jay Dee... one of the amazing Musicians in Tanzania.
Huu wimbo nauimba wooote utadhani niko bendi moja na Jay dee hahahahaa
naupenda sana... umechangamkaaa...unagusa moyooo
Hivyo viuno vya hao kina kaka tu Yalaaaaaah!

MSIKIE....
Nakupenda, nakutaka, nakuhitaji
Moyo wangu wakuwaza mpenzi uko mbali nami
Chorus
Nakupenda, nakutaka, nakuhitajiiii
Moyo wangu wakuwaza mpenzi uko mbali nami

Ngiyakuthanda, ngiyakufuna, ngiyakudinga
Nhliziyo yami, ngikabanga ngawe kodwa ukude nami mpenzi
I love you, I want you, and I need you
My heart is thinking of you but you're far away from me

Je t’aime, je t’ave, je besoin du toi
Mmh mon coeur te pans, Mh tiele du moi
Nalingiyo, naleliyo, naza naposa nayo
Motema nanga ezokisa yoo ozali mosika nanga
Ndagukunda, ndagushaka, ndagukeneye
Umutima wanje ula kwiyumvila aliko ulikule chane
Nze nkwagala, nkwagala, nkwagala nyo o
Umutima gwange gukulowoza, naye oliwala nyo nange

UBETI WA KWANZA
Usiku wa manane, nikasikia waniita
Kufumbua macho nagundua ni ndoto
Usiku wa manane, nikasikia kuh kuh
Kutizama pembeni sikuoni mpenzi
Mara nyingi peke yangu nitembeapo njiani
Nina kuwaza wewe na ninapata kiwewe
Rudia kiitikio - Repeat Chorus
\
UBETI WA PILI
Uwapo safarini mawazo mengi kichwani
Ili kujiliwaza ninapata shishii
Penzi si la mmoja mapenzi ni ya wawili
Na ni ya mimi na wewe witunge mwana wa mawe
Ili siku moja tuwe kitu kimoja
Tuje tujenge pamoja na watoto tuleee

Rudia Chorus ....kishaaaa
Nakupenda Mpenzi we (2x)......
Ngiyakutanda Mpenzi we (2x)
I love you Mpenzi we (2x)
Je t'aime Mpenzi we (2x)
Nalingiyo Mpenzi we (2x)
Nakutaka Mpenzi we (2x)
Ndagukunda Mpenzi we (2x)
I want you Mpenzi we (2x)
Je t'ave Mpenzi we (2x)
Naleliyo Mpenzi we (2x)
Ndagushaka Mpenzi we (2x)

No comments:

Post a Comment



Snowfall Widget for Blogger


Snowfall Widget for Blogger