Sunday, June 12, 2011

MSEMO WA LEO....

...ALIYEKUPA WEWE KUMBI NDIYE ALIYENINYIMA MIMI KITI...

..Tunakumbushwa tu kuwa majaaliwa uliyojaaliwa wewe umepewa na na yule aliyemnyima mwingine hayo majaaliwa...usiyaringie..usiyatambie kwa vile mtoaji ni mmoja anaweza kukugeuzia kibao!

na halikadhalika ukipata shukuru ukikosa usikufuru kwani mpaji ni Mola, anagawa kulingana na matakwa yake!

kama aliviumba vidole bila kufanana basi si ajabu nasi kutokufanana kimajaaliwa

No comments:

Post a Comment



Snowfall Widget for Blogger


Snowfall Widget for Blogger